-
-
by
Victor Abuso
Nchi ya Guinea imeruhusiwa kuandaa michuano ya Kimataifa ya soka, kwa mara ya kwanza kwa kipindi cha miezi 17.
Hatua hii imekuja baada ya Shirika la afya duniani WHO kuitangaza nchi hiyo kuwa huru dhidi ya maambukizi ya Ebola.
Hakikisho hilo limetolewa na Shirikisho la soka barani Afrika CAF, kupitia Katibu Mkuu Hicham El Amrani, kwa rais wa Shirikisho la soka nchini Guinea.
Hii inaamanisha kuwa Guinea watacheza mchuano wake nyumbani jijini Conakry dhidi ya Malawi mwezi wa tatu katika mchuano wa kufuzu kucheza fainali Afrika mwaka ujao nchini Gabon.
Guinea iko katika kundi moja na Malawi, Zimbabwe na Swaziland na wamekiuwawakichezea mechi zao nchini Morroco mjini Casablanca.
Kundi L
Mechi Ushindi Alama
Swaziland 2 1 4
Zimbabwe 2 1 4
Malawi 2 0 1
Guinea 2 0 1



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...