-
-
by
Victor Abuso
Mshambuliaji wa klabu ya AS Kigali nchini Rwanda Ernest Sugira amewasili jijini Kinshasa kufanya mazungumzo ya klabu ya AS Vita Club.
Mabingwa wa soka nchini DRC wamesema watatumia Dola za Marekani Dola 130,000 kumsajili mchezaji huyo wa Rwanda ambaye atakuwa ghali sana kuwahi kusajiliwa kwa kiasi hicho cha fedha.
Kocha Florent Ibenge alikuwa katika uwanja wa ndege kumpokea mchezaji huyo wa kimaifa kutoka Rwanda mwenye umri wa miaka 24.
Ikiwa mambo yatakwenda vizuri, atashiriki katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika.
Related Topicsfootball leagues



CAF Confederation Cup
Simba book final spot in CAF Confederation cup

CAF Confederation Cup
Simba book final spot in CAF Confederation cup
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 5 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...