-
-
by
Victor Abuso

Cameroon, mabingwa wa mwaka 2003 katika taji la soka barani Afrika kwa vijana wasiozidi miaka 17, wameanza vema mashindano yanayoendelea nchini Tanzania.
Lions Indomptables waliifunga Guinea mabao 2-0 katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa Chamazi, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.
Morocco na Senegal nazo zilitoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya pili ya kundi B.
Cameroon inaongoza kundi la B kwa alama tatu huku Morocco, Senegal na Guinea zikiwa na alama moja.
Michuano hii itarejelewa siku ya Jumatano.
Nigeria inayoongoza kundi la A kwa alama tatu, itamenyana na Uganda baada ya kuwashinda wenyeji Tanzania mabao 5-4.
Tanzania nayo itachuana na Angola, ambayo mechi ya kwanza iliishinda Uganda bao 1-0.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...