-
-
by
Victor Abuso
Mataifa nane yaliyofuzu katika hatua ya robo fainali kuwania taji la CECAFA, katika eneo la Afrika Mashariki na Kati ni pamoja na Tanzania, wenyeji Ethiopia, Rwanda , Kenya, Uganda, Sudan, Malawi na Sudan Kusini.
Jumapili ni siku ya mapumziko kabla ya kuanza kabla ya michuano ya robo fainali siku ya Jumatatu.
Ratiba
Jumatatu tarehe Novemba 30 2015
Uganda vs Malawi
Tanzania vs Ethiopia
Jumanne Desemba 1 2015
South Sudan vs Sudan
Kenya vs Rwanda
Wenyeji Ethiopia walipata bao muhimu katika dakika za lala salama baada ya mabeki wa Tanzania bara kujichanganya na kujifunga.
Ethiopia ambayo ilimaliza ya tatu katika kundi la A kwa alama 4, ilihitaji bao moja tu kufuzu mbele ya Burundi.
Mapema katika mchuano mwingine, Uganda iliifunga Burundi bao 1 kwa 0 na kuiweka Intamba Murugamba katika nafasi ngumu ya kufuzu katika hatua ya nusu fainali.
Mchuano mwingine unaosubiriwa kwa hamu ni kati ya Sudan Kusini na Sudan.
Timu hizi mbili zilikutana katika hatua ya makundi na kutoka sare ya kutofungana.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...