Na Victor Abuso,
Siku ya Jumatatu, ni siku ya mapumziko katika michuano ya kuwania ubingwa wa soka baina ya vlabu kutoka eneo la Afrika Mashariki na kati CECAFA kabla ya kuanza kwa michuano ya robo fainali siku ya Jumanne.
Michuano hii inaendelea katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam nchini Tanzania na tayari vlabu vinane vilivyofuzu katika michuano ya mwondoano vimefahamika.
Vlabu hivyo ni pamoja na APR kutoka Rwanda, Gor Mahia ya Kenya, Al Shandy ya Sudan , Yanga na Azam kutoka Tanzania, KCCA ya Uganda, Malakia ya Sudan Kusini na Al Khartoum ya Sudan.
Siku ya Jumanne, APR ambayo iliongoza kundi B kwa alama 9 itachuana katika mchuano wa kwanza na Al Khartoum ya Sudan iliyomaliza ya tatu katika kundi A kwa alama 7.
Mchuano mwingine utakuwa ni kati ya Gor Mahia ya Kenya waliomaliza wa kwanza katika kundi lao kwa alama 10 baada ya kushinda mechi tatu na kwenda sare mchuano mmoja dhidi ya Malakia ya Sudan Kusini iliyofuzu kutoka kundi C.
Siku ya Jumatano, Al Shandy washinda wa pili wa kundi B watachuana na KCCA ya Uganda waliomaliza wa pili katika kundi C kwa alama 6.
Mchuano unaosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini Tanzania ni kati ya Azam na Yanga, mchuano ambao kwa mashabiki wa timu hizi mbili umekuja mapema na ni kama fainali ya mwaka 2013.
Fainali ya michuano hii ya CECAFA itachezwa siku ya Jumapili.
Ex- CAF Media Expert. An expert on African football with over 15 years experience ,always with an ear to the ground with indepth knowledge of the game. I have worked for top publications including 7 years at www.supersport.com until i founded www.soka25east.com to quench the thirst of football lovers across the continent. I have trained young upcoming journalists who are now a voice in African football.I have covered World Cup,AFCON,CHAN,Champions League,Confederations Cup,Cecafa,Cosafa,Wafu and many other football tournaments across the World. Founder Football Africa Arena(FAA),Founder www.afrisportdigital.com



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...