-
-
by
Victor Abuso
Michuano ya soka kufuzu kucheza katika fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka nyumbani CHAN mwaka ujao, inachezwa mwishoni mwa juma hili katika mataifa mbalimbali.
Timu ya Taifa ya Uganda ilianza vema mchuano wake wa kwanza siku ya Jumamosi ikiwa nyumbani jijini Kampala baada ya kuishinda Sudan mabao 2 kwa 0.
Mabao ya Cranes yalitiwa kimyani na nahodha Farouk Miya, katika dakika 36 kabla ya muda wa mapumziko kipindi cha kwannza huku Frank Kalanda akifungua ukurasa huo katika dakika 19 ya mchuano huo.
Burundi nao ilianza vema kampeni yao ya kufuzu baada ya kuifunga Ethiopia pia kwa mabao 2 kwa 0 katika mchuano uliochezwa jijini Bujumbura.
Michuano ya marudiano itachezwa mwishoni mwa juma lijalo na mshindi atafuzu katika fainali za michuano hiyo itakayoandaliwa nchini Rwanda mwaka ujao.
Matokeo Kamili ya siku ya Jumamosi
Uganda 2 Sudan 0
Burundi 2 Ethiopia 0
Zambia 3 Mozambique 0
Afrika Kusini 0 Angola 2
Niger 2 Togo 0
Michuano ya Jumapili
Cameroon Vs Congo
Chad Vs Gabon
Mali Vs Mauritania
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imefuzu baada ya Jamhuri ya timu ya Afrika ya Kati kujiondoa kwa kile ilichosema kuwa haina fedha ya kuendelea na mashindano haya.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...