Na Victor Abuso,
Harambee Stars ya Kenya mwishoni mwa juma lililopita ikiwa ugenini nchini Ethiopia ililemewa baada ya kufungwa mabao 2 kwa 0 katika mchuano wa mzunguko wa kwanza kufuzu katika fainali za kombe la CHAN mwakani nchini Rwanda.
Wenyeji walianza kwa kutikisa nyavu za Harambee Stars kupitia bao la Asechalew Girma katika dakika ya 23 kipindi cha kwanza, kabla ya Gatoch Panom kufunga bao la ushindi kwa njia ya mkwaju wa penalti dakika 77 ya mchuano huo.
Harambee Stars walipata nafasi ya kufunga bao na kusawazisha dakika 10 kabla ya kumalizika kwa mpambano huo lakini Kevin Kimani alishindwa kufunga mkwaju wa penalti uliokolewa na kipa wa Ethiopia Tarik Getnet.
Mechi ya marudiano itapigwa mwezi ujao wa Julai jijini Nairobi. Mshindi wa mechi hiyo atapambana na Djibouti ama Burundi huku mshindi akifuzu kwenye michuano ya makala ya 4 ya kombe la CHAN itakayoandaliwa nchini Rwanda mwakani.
Katika matokeo mengine ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Uganda waliwashinda Tanzania mabao 3 kwa 0 huku Djibouti na Burundi ikitoka sare ya bao 1 kwa 1.
Matokeo mengine barani Afrika, Morroco 3 Libya 0, Mauritania 2 Sierre Leone 1, Zimbabwe 2, Comoros 0, Lesotho 0 Bostwana 0, Namibia 2 Zambia 1 na Swaziland 2 Angola 2.
Michuano ya marudiano ni mapema mwezi Julai.
Ex- CAF Media Expert. An expert on African football with over 15 years experience ,always with an ear to the ground with indepth knowledge of the game. I have worked for top publications including 7 years at www.supersport.com until i founded www.soka25east.com to quench the thirst of football lovers across the continent. I have trained young upcoming journalists who are now a voice in African football.I have covered World Cup,AFCON,CHAN,Champions League,Confederations Cup,Cecafa,Cosafa,Wafu and many other football tournaments across the World. Founder Football Africa Arena(FAA),Founder www.afrisportdigital.com



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...