-
-
by
Victor Abuso
Klabu ya DC Motema Pembe itachuana Jumapili na Vita Club katika mchuano muhimu wa marudiano kuwania taji la taifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Mchuano huo utapigwa katika uwanja wa Kimataifa wa Tata Raphael jijini Kinshasa kwa mujibu wa Wizara ya michezo nchini humo.
Mchuano huo unatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya mashabiki wa timu hizo mbili ambazo zina wafuasi wengi hasa jijini Kinshasa.
Kutokana na upinzani mkali wa mashabiki wa timu hizi mbili na mauaji ya mashabiki wakati wa mchuan kama huu kati ya TP Mazembe na Vita Club mwaka 2014, mashabiki wa timu zote mbili watatumia malango tofauti kuingia uwanjani.
Mchuano wa mzunguko wa kwanza miezi kadhaa iliyopita, DC Motema Pembe iliifunga Vita Club bao 1 kwa 0.
Mwamuzi wa kati wa mchuano huo atakuwa ni Makombo Neushiye, akisaidiwa na Fila Kimfumu, Washe Mukanga na Angova Bongo.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...