-
-
by
Victor Abuso
Shirikisho la soka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inasema, imeiondoa timu yake ya taifa yenye wachezaji wasiozidi umri wa 17 na 20 katika mashindano yote ya mwaka 2016 na 2017.
Shirikisho la soka barani Afrika CAF, limethibitisha kupokea ombi la FECOFA. Michuano ya Afrika ya mwaka 2017 itachezwa nchini Zambia na mechi za mzunguko wa kwanza, zimeratibiwa kuanza kuchezwa mwezi Aprili mwaka huu. Timu ya Taifa ya Burundi imefuzu katika mzungukzo wa pili kwa sababu jirani zao DRC wamejiondoa katika michuano hii. Burundi sasa imepangiwa kumenyana na Nigeria mwezi Juni mwaka huu katika mchuano wa nyumbani na ugenini kufuzu katika michuano hiyo. Kenya, Somalia, Ethiopia, Sudan, Rwanda na Uganda ni mataifa ya Afrika Mashariki na Kati yatakayoshiriki katika michuano hiyo. Mataifa nane, yakiongozwa na Zambia yatashiriki katika fainali hiyo. Aidha, DRC inasema vijana wake hawatashiriki katika michuano ya kufuzu kucheza fainali ya mwaka 2017 kwa vijana waisozidi miaka 17, fainali itakayopigwa nchini Madgascar. Shirikisho la soka nchini DRC halijasema ni kwanini, limeamia timu zao zisicheze katika fainali hizo mbili mwakani.
Related Topics



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...