-
-
by
Victor Abuso
Shirikisho la soka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetoa ratiba ya michuano ya mwondoano kutafuta ubingwa wa ligi kuu nchini humo mwaka huu.
Michuano hiyo itachezwa kati ya tarehe 7 mwezi huu wa tano na tarehe 19 mwezi ujao wa Juni.
Mchuano wa Kinshasa Derby kati ya mabingwa watetezi Vita Club na DC Motema, utachezwa tarehe 12 katika uwanja wa Stade des Martyrs zamani ulikuwa unafahamika kama uwanja wa Kamanyola.
Nayo klabu ya FC Lupopo itamenyana na mabingwa watetezi TP Mazembe tarehe 22 mwezi huu.
Ratiba Kamili
DCMP vs Muungano tarehe 7 Mwezi 5 Shark XI Sanga Balende , tarehe 8 mwezi 5 Vclub vs Dauphin black, tarehe 8 mwezi 5 Lupopo vs Mazembe ,tarehe 22 mwezi 5 Mazembe- VClub , tarehe 25 mwezi 5 Dauphin black- DCMP ,tarehe 12 mwezi 5 Sanga Balende- Lupopo , tarehe 12 mwezi 5 Muungano- Shark XI, tarehe 15 mwezi wa 5 DCMP- Mazembe , tarehe mwezi 5 Muungano Dauphin black, tarehe 19 mwezi 5 VClub - Sanga Balende tarehe 15 mwezi 5 Shark XI- Lupopo , tarehe 19 mwezi 5
Related Topicsfootball leagues



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...