Na Victor Abuso,
Droo ya michuano ya bara Afrika, kuwania taji la vijana wasiozidi miaka 17 itafanyika siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam nchini Tanzania.
Michuano hiyo ya 13, itafanyika jijini Dar es salaam nchini Tanzania kati ya tarehe 14 hadi 28 mwezi Aprili mwaka 2019.
Wenyeji Tanzania, ni miongoni mwa mataifa nane, yaliyofuzu kucheza katika fainali hiyo.
Mataifa mengine yatakayopambana kutafuta ubingwa huo ni pamoja na Morocco, Senegal, Guinea, Nigeria, Cameroon, Uganda na Angola.
Mataifa yatakayofika katika hatua ya nusu fainali, yatafuzu kushiriki katika kombe la dunia mwaka 2019 nchini Peru.
Mabingwa watetezi Mali, walishindwa kufuzu katika fainali ya mwaka 2019.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...