-
-
by
Victor Abuso
Droo ya hatua ya makundi ya kutafuta ubingwa taji la klabu bingwa barani Afrika katika mchezo wa soka itatangazwa tarehe 24 mwezi Mei.
Vlabu nane ambavyo vimefuzu katika hatua hii tayari vimefahamika na vitawekwa katika hatua ya makundi mawili, kila kundi na timu nne.
Kanuni za Shirikisho la soka barani Afrika CAF, zinaweka wazi kuwa mechi hizo zitachezwa nyumbani na ugenini na mshindi atafuzu katika hatua ya nusu fainali.
Vlabu vilivyofuzu ni pamoja na:-
- ES Setif ya Algeria
- AS Vita Club ya DRC
- Al-Ahly ya Misri
- Zamalek ya Misri
- ASEC Mimosas ya Cote Dvoire
- Wydad Casablanca ya Morocco
- Enyimba ya Nigeria
- ZESCO United ya Zambia
Mabingwa watetezi wa taji hili msimu uliopita TP Mazembe waliondolewa baada ya kufungwa ugenini mabao 2 kwa 0 na sare ya bao 1 kwa 1 mjini Lubumbashi siku ya Jumatano.
Nayo droo ya hatua ya mwondoano kuwania taji la Shirikisho itafanyika tarehe 21 mwezi Aprili.
Vlabu vilivyofuzu katika michuano hii ya Shirikisho vitakutana na vile vilivyoondolewa katika hatua ya taji la klabu bingwa barani Afrika.
|
Kutoka taji la klabu bingwa |



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...