-
-
by
Victor Abuso
Droo ya mashindano ya Afrika baina ya wachezaji wanaocheza soka nyumbani CHAN yatakayofanyika mwaka 2016 nchini Rwanda imetolewa.
Mataifa kumi na sita yatashiriki katika michuano hiyo na yamepangwa katika makundi manne.
Wenyeji Rwanda wamewekwa katika kundi A na Gabon, Morocco na Ivory Coast na kundi hili litacheza katika uwanja wa Amahoro jijini Kigali.
Mabingwa wa mwaka 2009, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wako katika kundi B na Angola iliyofika fainali mwaka 2011 Angola, Camerooon na Ethiopia na watapiga kambi katika uwanja wa Butare.
Kundi la C lina mabingwa wa mwaka 2011 Tunisia, Nigeria, Niger na Guinea ambao wanacheza kwa mara ya kwanza michuano yao itachezwa katika uwanja wa Nyamirambo.
Uwanja wa Gisenyi utakuwa na kundi D ambao ni pamoja na Zimbabwe, Mali, Uganda na Zambia.
Michuano hii itaanza tarehe 16 mwezi Januari na kumalizika tarehe 7 mwezi Februari.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...