-
-
by
Victor Abuso
Shirikisho la soka nchini Ethiopia limemteau Gebremedhin Haile kuwa kocha mpya wa timu ya taifa.
Kocha huyo wa klabu ya Defence FC, ataiongoza timu ya taifa katika michuano miwili ya kufuzu kucheza fainali ya mataifa bingwa barani Afrika AFCON nchini Gabon mwaka ujao dhidi ya Lesotho na Ushelisheli.
Mapema mwezi huu, EFF ilimfuta kazi kocha Yohannis Sahle kwa sababu ya matokeo mabaya katika michuano ya kufuzu kucheza fainali za Afrika.
Wakati akiifunza timu ya taifa, Sahle aliiongoza Walia Ibex hadi katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA mwaka uliopita, lakini pia michuano ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka nyumbani CHAN iliyofanyika nchini Rwanda mapema mwaka huu.



CAF Confederation Cup
Simba book final spot in CAF Confederation cup

CAF Confederation Cup
Simba book final spot in CAF Confederation cup
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 5 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...