-
-
by
Victor Abuso
Mkurugenzi mtendaji wa klabu ya Gor Mahia nchini Kenya Lordvick Aduda ametangaza nia ya kuwania urais wa Shirikisho la soka nchini Kenya FKF.
Aduda amesema ameamua kuwania nafasi hiyo, baada ya shinikizo kutoka kwa wadau mbalimbali wa mchezo wa soka.
Awali, Aduda alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa FKF lakini aliondolewa katika nafasi hiyo mwaka 2012, na amekuwa mkosoaji mkubwa wa uongozi wa sasa ulioingia madarakani mwaka 2016.
“Wadau wa soka wameniambia muda umewadia wa mimi kuchukua hatua za uongozi. Nimekubali wito wao na hivi karibuni nitaweka wazi.” amesema Aduda.
Uchaguzi huo umepangwa kufanyika tarehe 7 mwezi Desemba.
Kuelekea kwenye Uchaguzi huo, wagombea wengine wameshaanza kujitokeza, wakiwemo Gavana wa zamani wa jimbo la Vihiga, Moses Akaranga na rais wa zamani wa soka nchini humo Sam Nyamweya.
Rais wa sasa Nick Mwendwa ametangaza kuwa atawania tena nafasi hiyo.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...