-
-
by
Victor Abuso
Chama cha Jubilee kinasema mchezaji huyo wa zamani, ameaminiwa kwa sababu ya taibia yake na ushirikiano wake na watu.
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya soka ya Kenya McDonald Mariga amekabidhiwa bendera ya chama cha Jubilee kuwania ubunge wa eneo bunge la Kibra jijini Nairob mwezi Novemba.
Mariga aliweka historia kwa kuwa mchezaji wa kwanza, raia wa Kenya kucheza katika michuano ya klabu bingwa barani Ulaya UEFA, wakati akichezea klabu ya Inter Milan nchini Italia mwaka 2010.
Aliwahi pia kucheza soka katika klabu ya Parma huko Italia.
Mbali na Italia, aliwahi pia kucheza soka nchini Uhsipania katika klabu ya Real Sociedad na Real Oviedo.
Alianza kuichezea Harambee Stars mwaka 2003 na kwa mech 40 alizicheza, alifunga mabao 5.




Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...