Na Victor Abuso, Lushoises OCL City ndio mabingwa wa soka taji la wanawake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kuwashinda Recoilless ya Mbuji-Mayi mabao 3 kwa 0 katika mechi ya fainali. Hili ni taji la nne mfululizo kwa klabu ya Lushoises, iliyoanza kushiriki soka la wanawake nchini humo tangu mwaka 2012. Mwaka uliopita, vlabu hivi vilikutana tena katika hatua ya fainali na akina dada kutoka Lubumbashi wakaendelea kudhihirisha kuwa wao ni moto wa kuotea mbali. Nafasi ya tatu ilinyakuliwa na Bafana Bafana Katanga baada ya kuwafunga Mornng Star kutoka North Kivu mabao 6 kwa 1. Mikoa 9 kati ya 11 ilishiriki katika makala haya ya nane ya michuano hii huku mikoa ya Kasai Occidental na Ecuador ikijiondoa kwa sababu za changamoto za kifedha. Orodha ya vlabu vilivyoshiriki katika ligi hiyo:- Bilenge (Kinshasa) Bafana Bafana (Katanga) RC Boa (Maniema) Promo Sport (Bas-Congo) GTT (Bandundu) Attack recoilless (Kasai Oriental) Morning Star (South Kivu) OCL into City (Katanga) Orodha ya mabingwa wa taji hilo 2008 South Kivu 2009 Kinshasa 2010 Kinshasa 2011 Katanga 2012 OCL City 2013 OCL City 2014 OCL City 2015 OCL City.
Ex- CAF Media Expert. An expert on African football with over 15 years experience ,always with an ear to the ground with indepth knowledge of the game. I have worked for top publications including 7 years at www.supersport.com until i founded www.soka25east.com to quench the thirst of football lovers across the continent. I have trained young upcoming journalists who are now a voice in African football.I have covered World Cup,AFCON,CHAN,Champions League,Confederations Cup,Cecafa,Cosafa,Wafu and many other football tournaments across the World. Founder Football Africa Arena(FAA),Founder www.afrisportdigital.com



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...