-
-
by
Victor Abuso

Kocha wa timu ya taifa ya soka ya Kenya Sébastian Migné amekitaja kikosi cha mwisho cha wachezaji 23 kuelekea fainali ya mataifa bingwa barani Afrika nchini Misri.
Michuano ya AFCON itaanza tarehe 21 mwezi Juni, na Kenya imepangwa katika kundi moja na Algeria, Senegal na Tanzania.
Kenya ambayo imerejea katika michuano hiyo baada ya miaka 15 itaanza kampeni yake dhidi ya Algeria tarehe 23 mwezi Juni.
Harambee Stars ipo nchini Ufaransa inakoendelea na maandalizi kuelekea katika michuano hiyo.
Kikosi kamili:
Makipa
Patrick
Matasi, John Oyemba, Faruk Shikalo
Mabeki
Philemon
Otieno, Abud Omar, Bernard Ochieng, Musa Mohammed, Joash Onyango,
Joseph Okumu, David Owino, Eric Ouma
Viungo
wa Kati
Victor
Wanyama, Dennis Odhiambo, Erick Johanna, Ayub Timbe, Francis Kahata,
Ismael Gonzalez, Ovella Ochieng, Paul Were, Johanna Omollo
Washambuliaji
Masud
Juma, Michael Olunga, John Avire



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...