-
-
by
Victor Abuso
Kocha wa timu ya taifa ya Togo Claude Le Roy amekitaja kikosi cha wachezaji 21 kucheza na Zambia katika mchuano wa Kimataifa wa kirafiki wiki ijayo.
Miongoni mwa wachezaji hao ni pamoja na mchezaji wa Kimataifa wa klabu ya Crystal Palace Emmanuel Adebayor.
Mchuano huo utapigwa mjini Lome lakini mchuano huo pia utatumiwa kujiweka tayari kupambana na Liberia katika mchuano muhimu wa kufuzu kucheza fainali ya Afrika mwaka ujao nchini Gabon.
KIKOSI KAMILI:
Makipa: Cedric Mensah (Colma),Baba Tohagouni (Marmand),Kossi Agassa (Reims).
Mabeki: Serge Akapo (Trabzonspor),Gafar Mamah (Dacia),Kakou Donu (Rangers Int’l),Joseph Douhadji (Rivers),Sadat Akonko (Al Faysaly),Djenne Dakonam (Alcorcon).
Viungo wa Kati: Prince Segbefia (Unattached),Alaixys Romao (OM),Henrise Eniful (Doxa),Dove Wome (Supersport),Kossivi Nouwokio (Asec Mimosas),Floyd Ayite (Bastia),Lalawele Atakwa (Helsingborgs),Mathieu Dossevi (Standard Liege).
Washambuliaji: Emmanuel Adebayor (Crystal Palace),Camaldine Abraw (Kaizer Chiefs),Jonathan Ayite (Alanyspor),Robert Dussey (Atalanta Bergama).



CAF Confederation Cup
Simba book final spot in CAF Confederation cup

CAF Confederation Cup
Simba book final spot in CAF Confederation cup
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 5 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...