-
-
by
Victor Abuso

Mechi za ligi kuu ya soka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zinarejelewa tena baada ya kuahirishwa kwa sababu ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwisho wa mwezi wa Desemba mwaka 2018.
Klabu ya Groupe Bazano yenye makao yake mjini Lubumbashi, inayoshikilia nafasi ya 10 katika msururu wa ligi kuu kwa alama 13, siku ya Alhamisi itamenyana na DC Motema Pembe.
Mechi hii itachezwa katika uwanja wa Frederic Kibassa Maliba mjini Lubumbashi.
Baada ya mechi Alhamisi, Groupe Bazano itakuwa na kibarua kingine nyumbani mwishoni mwa wiki dhidi ya AS Vita Club ya Kinshasa, kabla ya kusafiri kwenda kumenyana na Maniema Union katikati ya wiki ijayo.
Mechi zingine za siku ya Alhamisi, Januari 03 2019:-
Nyuki vs Renaissance
Don Bosco vs Vita Club
Ijumaa, Januari 04 2019
Mont Bleu vs Rangers
Maniema Union vs Motema Pembe
Jumapili, Januari 06 2018
Dauphins Noirs vs Nyuki
Don Bosco vs Motema Pembe
Groupe Bazano vs Vita Club
Ligi hiyo inaongozwa na TP Mazembe ambyo ina alama 40, baada ya mechi 15, ikifuatwa na Vita Club ambayo baada ya mechi 11 ina alama 28.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...