-
-
by
Victor Abuso
Mabao 15 yalifungwa wakati wa michuano ya ligi kuu ya soka nchini Uganda siku ya Jumanne.
Lweza FC ilipoteza mchuano wake wa pili msimu huu baada ya kufungwa na Express FC mabao 2 kwa 1 huku URA ikipata ushindi wa mabao 3 kwa 1 dhidi ya Soana FC.
Matokeo mengine yalikuwa kama ifuatavyo:-
Bright Stars F.C 1-1 Simba S.C
BUL F.C 0-0 Vipers S.C
Police F.C 1-1 The Saints F.C
Maroons F.C 0-1 Sadolin Paints F.C
SC Victoria University 1-2 SC Villa
Kwa matokeo hayo, KCCA FC inaongoza msururu wa ligi kwa alama 7 baada ya kucheza michuano mitatu, wakifutwa na URA ambao wana alama 4 baada ya mechi mbili.
Mabingwa watetezi Vipers FC ambao walitoka sare ya kutofungana wanashika nafasi ya 4 kwa alama tatu.
Michuano ijayo Jumanne tarehe 15 Septemba 2015 :-
Police Vs Sadolin Paints –Uwanja wa Kavumba
Jinja Municipal Hippos Vs The Saints – Kakindu Stadium, Jinja
KCCA F.C Vs Simba – Nakivubo Stadium, Kampala
Maroons Vs Soana – Prisons Stadium, Luzira
Bright Stars Vs Express – Matugga
Lweza Vs SC Villa – Mutesa II Stadium, Wankulukuku
SC VU Vs Vipers – Nelson Mandela National Stadium



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...