Na Victor Abuso
Kamati ya rufaa ya Shirikisho la soka nchini Uganda, imeirejesha klabu ya Lweza FC katika ligi ya soka nchini humo.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo Richard Kiboneka amesema kuwa klabu ya Lweza FC imetimiza masharti muhimu yaliyokuwa yanahitajika ili kuendelea kusalia katika ligi hiyo.
Taarifa hizi zimepokelewa kwa furaha kubwa na viongozi na mashabiki wa klabu hiyo yenye makao yake katika mtaa wa Kajjansi jijini Kampla.
Msemaji wa klabu hiyo Abdul Suleiman Semugenyi ameiambia soka25east.comkuwa baada ya kushinda rufaa hiyo kazi iliyo mbele yao ni kuendelea kuimarisha klabu hiyo na kuwasajili mashabiki zaidi.
“Nina furaha kubwa sana baada ya klabu yetu kushinda rufaa hii, walidai kuwa hatuna uwanja, Ofisi na makocha wetu hawana leseni ya CAF na hilo limedhirika kuwa sio kweli,” alisema Semugenyi.
Uongozi wa Lweza FC awali ulidai kuwa uamuzi wa kuwashusha daraja ulichukuliwa bila ya kuwashirikisha na madai yaliyoorodheshwa hakuwa sahihi.
Lweza FC sasa imepangiwa kumeyana na BUL FC katika mchuano wake wa ufunguzi wa msimu mpya wa mwaka 2015/16 siku ya Jumamosi.
Orodha kamili ya michuano ya ufunguzi wa ligi mwishoni mwa wiki:-
Vipers Vs Saints – Uwanja wa Buikwe
Sadolin Vs KCC – Uwanja wa Bugembe
Express Vs Police – Uwanja wa Mutesa II, Wankulukuku
Soana Vs Bright Stars – Uwanja wa Kavumba
Ex- CAF Media Expert. An expert on African football with over 15 years experience ,always with an ear to the ground with indepth knowledge of the game. I have worked for top publications including 7 years at www.supersport.com until i founded www.soka25east.com to quench the thirst of football lovers across the continent. I have trained young upcoming journalists who are now a voice in African football.I have covered World Cup,AFCON,CHAN,Champions League,Confederations Cup,Cecafa,Cosafa,Wafu and many other football tournaments across the World. Founder Football Africa Arena(FAA),Founder www.afrisportdigital.com



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...