Na Mwandishi wetu akiwa Dar Es Salaam,
Toka Februari 2019 aliyekuwa makamu wa Rais wa shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) Michael Richard Wambura alikuwa anashikiliwa na Polisi na kuwa rumande kwa muda wote huo.
Wambura alikuwa anashikiliwa kwa makosa 17 ikiwemo kugushi nyaraka, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha wakati akiwa kiongozi wa TFF makosa ambayo hayakuwa na dhamana.
Baada ya huruma ya Rais wa Tanzania kwa watuhumiwa wa makosa ya utakatishaji fedha na uhujumu uchumi kumuagiza muendesha mashtaka DPP wasamehe wale watuhumiwa watakaokiri kosa na kurudisha pesa watasamehewa.
Oktoba 7 Wambura ameachiwa huru katika Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu chini ya hakimu Kelvin Mhina baada ya kukubali kurejesha kwa awamu kiasi cha Tsh milioni 100 ($ 43,519) alichokuwa anatuhumiwa nacho toka Februari 11 2019 alipofikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza, Wambura ameanza kwa kulipa Tsh milioni 20 ($ 8,703) kama sehemu ya malipo ya awamu tano ya pesa hizo.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...