-
-
by
Victor Abuso
Ligi kuu Tanzania bara msimu wa mwaka 2015/2016 ilifika tamati mwishoni mwa wiki iliyopita.
Kumaliza kwa ligi hii kulikuja baada ya Yanga kutawazwa mabingwa wa taji hili wiki moja kabla ya kumalizika rasmi kwa ligi hiyo.
Haya ndio matokeo ya michuano ya mwisho.
Mbeya City |
0 |
0 |
Ndanda FC |
|
Coastal Union |
0 |
2 |
Tanzania Prisons |
|
Simba SC |
1 |
2 |
JKT Ruvu |
|
Toto Africans |
0 |
1 |
Stand United |
|
Azam FC |
1 |
1 |
Mgambo JKT |
|
Kagera Sugar |
2 |
0 |
Mwadui FC |
|
Mtibwa Sugar |
2 |
0 |
African Sports |
|
Majimaji |
2 |
2 |
Young Africans |
Orodha ya wafungaji bora msimu huu.
1: | Tambwe Amissi |
21 |
2: | Hamisi Kiiza |
19 |
3: | Donald Dombo Ngoma |
17 |
4: | Elias Maguri |
14 |
5: | Kipre Herman Tchetche |
12 |
Vlabu vilivyopandishwa daraja
Mbao FC-Mwanza
Ruvu Shooting-Pwani
African Lyon -Dar es salaam.
Related TopicsCompetitionfootball leagues



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...