Na mwandishi wetu akiwa Dar es Salaam,
Leo kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) inayoongozwa na mwenyekiti wake Elias Mwanjala imefikia tamati na kutoa hukumu kuhusiana na mgogoro wa kimkataba kati ya Yanga na Bernard Morrison.
Mchezaji Morrison na iliyokuwa klabu yake walifikishana katika kamati hiyo kwa Morrison kudai kuwa yeye ni mchezaji huru hana mkataba na Yanga kwani mkataba wake wa miezi sita ulishamalizika huku Yanga wao wakidai walimuongeza mkataba wa miaka miwili.
Kamati hiyo imeeleza kuwa mkataba wa Yanga na Morrison unaodaiwa kuwa wa miaka miwili una mapungufu wakati hivyo Morrison anashinda ila wanampeleka katika kamati ya maadili sababu ameonesha dharau katika kamati hiyo baada ya kusaini mkataba na Simba shauri lake likiwa bado limaendelea.
“Picha haitoshi kuonesha kwamba mkataba ulisainiwa japo Morrison anaeleza kuwa siku ile alikwenda lakini hakusaini, maneno matupi hawezi kusaidia mkataba unaonesha ulisaini tarehe 20 March lakini wenyewe juu una.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...