Na Victor Abuso,
Beki wa zamani wa timu ya taifa ya soka ya Msumbiji Helder ‘Mano Mano’ Muianga amechukua mikoba ya Joao Chissano kuwa kocha wa timu ya taifa “The Mambas”.
Kibarua cha Chissano kiliota nyasi baada ya kufungwa na Rwanda bao 1 kwa 0 katika mchuano wa kwanza wa kufuzu katika michuano ya mataifa bingwa barani Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
Muianga alikuwa msaidizi wa Chissano katika mchuano huo wa mwishoni mwa juma lililopita jijini Maputo.
Kabla ya mchuano dhidi ya Rwanda, Chissano aliiongoza Msumbiji hadi katika fainali ya michuano ya Kusini mwa Afrika COSAFA mwisho uliopita na kufungwa na Namibia.
Chissano anakuwa kocha wa pili barani Afrika kufutwa kazi baada ya Young Chimodzi wa Malawi.
Kazi kubwa ya kocha mpya Muianga, ni kukiandaa kikosi cha wachezaji wanaocheza nyumbani katika michuano ya kufuzu katika mechi za CHAN dhidi ya Ushelisheli mwishoni mwa juma hili mjini Beira.
Muianga alipokuwa mchezaji licha ya kuichezea Msumbuji, aliwahi pia kucheza soka la kulipwa nchini Afrika Kusini na Hungary.
Ex- CAF Media Expert. An expert on African football with over 15 years experience ,always with an ear to the ground with indepth knowledge of the game. I have worked for top publications including 7 years at www.supersport.com until i founded www.soka25east.com to quench the thirst of football lovers across the continent. I have trained young upcoming journalists who are now a voice in African football.I have covered World Cup,AFCON,CHAN,Champions League,Confederations Cup,Cecafa,Cosafa,Wafu and many other football tournaments across the World. Founder Football Africa Arena(FAA),Founder www.afrisportdigital.com



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...