-
-
by
Victor Abuso
Rais wa Shirikisho la soka nchini Kenya FKF Sam Nyamweya na maafisa wengine wawili wanachunguzwa kwa tuhma za matumizi mabaya ya fedha.
Ofisi ya kiongozi wa mashtaka ya umma jijini Nairobi, inasema inachungunza namna Dola 170,000 zilizotengwa na serikali kuisaidia timu ya taifa Harambee Stars kwenda nchini Cape Verde zilivyotumiwa.
Wengine wanaochunguzwa ni pamoja na Katibu wa Shirikisho hilo Michael Esakwa na Samson Cherop Kaimu Meneja wa maswala fedha.
Harambee Stars ilichelewa kwenda nchini Cape Verde wakati wa mchuano wao wa kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia mwaka 2018 nchini Urusi mwezi Novemba baada ya ndege waliyokuwa wamekodiwa na serikali kushindwa kuondoka jijini Nairobi kwa ukosefu wa nauli.
Hata hivyo,viongozi hao wa soka wanakanusha kuhusika kwa vyovyote vile na kupotea kwa fedha za serikali.
Yote haya yanafanyika wakati huu uchaguzi wa viongozi wapya wa soka ukitarajiwa kufanyika nchini humo kwa muda wa miezi kadhaa ijayo, na Sam Nyamweya ni miongoni mwa wagombea wa wadhifa huo.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...