Na Mwandishi wetu akiwa Dar Es Salaam,
Baada ya kufanyika kwa vikao zaidi ya kimoja uongozi wa Simba SC umefikia uamuzi wa kuachana na koch wake mkuu Patrick Aussems.
Maamuzi ya Simba SC kuachana na kocha huyo yameshinikizwa na vitu viwili, kwanza kuondoka bila ruhusa kwa siki takribani mbili na kwenda nyumbani kwake Ufaransa.

Sababu ya pili iliyopelekea maamuzi hayo ni kutofikia kwa malengo ya klabu ya kucheza tena kwa hatua ya makundi ya Michuani ya Klabu Bingwa Afrika, hiyo ni baada ya kutolewa na UD Songo ya Msumbiji katika round ya awali.
Related TopicsCompetition



Carthage Eagles (Tunisia)
Liberia take on Tunisia in World Cup Qualifier
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...