Na Mwandishi wetu akiwa Dar Es Salaam,
Baada ya kufanyika kwa vikao zaidi ya kimoja uongozi wa Simba SC umefikia uamuzi wa kuachana na koch wake mkuu Patrick Aussems.
Maamuzi ya Simba SC kuachana na kocha huyo yameshinikizwa na vitu viwili, kwanza kuondoka bila ruhusa kwa siki takribani mbili na kwenda nyumbani kwake Ufaransa.

Sababu ya pili iliyopelekea maamuzi hayo ni kutofikia kwa malengo ya klabu ya kucheza tena kwa hatua ya makundi ya Michuani ya Klabu Bingwa Afrika, hiyo ni baada ya kutolewa na UD Songo ya Msumbiji katika round ya awali.
Related TopicsCompetition



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...