Na Mwandishi wetu akiwa Dar Es Salaam,
Klabu ya soka ya Simba SC ya Tanzania imeamua kumtangaza mwandishi wa habari na mtangazaji wa BBC Salim Kikeke kuwa ndiye balozi wa klabu hiyo jijini London nchini Uingereza, maamuzi hayo yamefikiwa baada ya bodi ya wakurugenzi kukaa na kupitisha kitu hicho kipya.
Kikeke ametangazwa kuwa balozi wa hiari na kutokana kuwa na mapenzi na mchezo wa mpira wa miguu hususani klabu ya Simba SC wamefikia maamuzi hayo, baada ya Kikeke kuwa shabiki mkubwa wa Simba SC kwa muda mrefu.
“Lengo letu hasa ni kukuza soka la Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla wake, hili ni jambo jipya kwa mimi kuweza kuwa balozi wa kwanza kabisa wa klabu hii, majukumu yake ya kimsingi kwa sasa ni kuangalia namna ya kukusanya mashabiki wa Simba hapa Uingereza na kuweza kukaa na kuangalia tunaipeleka wapi klabu ya Simba” alisema Salim Kikeke
Kwa mujibu wa Kikeke amenukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini Tanznaia akisema ubalozi wake wa hiari na wenye lengo wa kukuza na kutangaza soka la Afrika Mashariki ila jukumu lake kubwa katika jiji la London litakuwa ni kuitangaza vyema Simba SC



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...