Klabu ya Simba SC ambayo imetangaza kuwa ina dhamira ya kutwaa Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) kwa miaka ya usoni imeendelea kujiimarisha kwa kufanya usajili wa nyota wa kimataifa.
Baada ya jana kumtambulisha nyota Larry Bwalya wa Zambia leo imetambulisha kumsajili mshambuliaji wa Lusaka Dynamos Chriss Mugalu.
Mugalu ,30, raia wa Congo amejiunga na Simba SC ikiwa haijaweka wazi kiwango cha pesa cha usajili na muda wa mkataba wake huku akitajwa kuwa ujio wake utakuwa umeinarisha safu ya ushambuliaji ya Simba SC inayoongozwa na nahodha John Bocco na Meddie Kagere.
Mugalu aliwahi kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Zambia 2017 ila mwisho wa mwaka 2019 hakuumaliza vizuri alipata majeraha yaliomuweka nje kwa wiki 12 (miezi 13).



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...