-
-
by
Victor Abuso
Mshambuliaji wa klabu ya AS Kigali nchini Rwanda Ernest Sugira amewasili jijini Kinshasa kufanya mazungumzo ya klabu ya AS Vita Club.
Mabingwa wa soka nchini DRC wamesema watatumia Dola za Marekani Dola 130,000 kumsajili mchezaji huyo wa Rwanda ambaye atakuwa ghali sana kuwahi kusajiliwa kwa kiasi hicho cha fedha.
Kocha Florent Ibenge alikuwa katika uwanja wa ndege kumpokea mchezaji huyo wa kimaifa kutoka Rwanda mwenye umri wa miaka 24.
Ikiwa mambo yatakwenda vizuri, atashiriki katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika.
Related Topicsfootball leagues



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...