Na Victor Abuso,
Yanga FC, mabingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu huu, watakabidhiwa kitita cha Shilingi za Kitanzania Milioni 80 na Laki Nne baada ya kushinda taji hilo.
Wafadhili wakuu wa ligi hiyo kampuni ya simu ya mkononi Vodacom, wamethibtisha hilo na kuongeza kuwa Azam FC waliomaliza katika nafasi ya pili watapata kitita cha Shilingi Milioni 40, huku Simba FC iliyomaliza ya tatu ikikabidhiwa Shilingi Milioni 28.
Mkuu wa kitego cha Uhusiano mwema katika kampuni hiyo Matina Nkurlu amedokeza mwishoni mwa juma kuwa mfungaji bora msimu huu Simon Msuva kutoka Yanga FC naye atapata Shilingi Milioni 5.
Kipa bora naye atapata Milioni 5 sawa na mchezaji bora wa mwaka huku kocha bora na mwamuzi bora pia watatuzwa.
Wafadhili wa ligi Tanzania bara wanasema wanatoa zawadi hizi ili kuinua kiwango cha soka na kuhimiza ushindani na kutafuta vipaji miongoni mwa vijana nchini humo.
Sherehe ya kuwatuza washindi wa ligi msimu huu zitafanyika katikati ya mwezi wa Juni jijini Dar es salaam.
Ex- CAF Media Expert. An expert on African football with over 15 years experience ,always with an ear to the ground with indepth knowledge of the game. I have worked for top publications including 7 years at www.supersport.com until i founded www.soka25east.com to quench the thirst of football lovers across the continent. I have trained young upcoming journalists who are now a voice in African football.I have covered World Cup,AFCON,CHAN,Champions League,Confederations Cup,Cecafa,Cosafa,Wafu and many other football tournaments across the World. Founder Football Africa Arena(FAA),Founder www.afrisportdigital.com



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...