Na Victor Abuso,
Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars Adel Amrouche ambaye pia anajulikana kwa jina ya utani kama “Msanifu” anatajwa kuwa miongoni mwa makocha wanaopewa kipau mbele ya kuchukua nafasi ya kocha wa Tanzania Mart Nooij.
Duru kutoka Dar es salaam zimeimbia soka25east.com kuwa kutokana na matokeo mabaya katika michuano ya Kusini mwa Afrika COSAFA inayoendelea nchini Afrika Kusini huenda ndio ikawa nafasi ya mwisho kocha huyo kuifunza Tanzania.
Nooij raia wa Uholazni alijiunga na Taifa Stars mwaka 2014 na kuchukua nafasi ya Kim Poulsen aliyefutwa kazi kutokana na matokeo mabaya ya michuano ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA mwaka 2013.
Katika michuano mitatu iliyopita, Taifa Stars imeshindwa kupata ushindi hali inayoweka kibarua cha Nooij hatarini.
Hasira za wapenzi wa soka nchini Tanzania zimedhirishwa kutokana na majibizano yanyoendelea kupitia mitandano ya kijamii kumshinikiza Nooij kufutwa kazi.
Tayari uongozi wa TFF chini ya rais wake Jamal Malinzi umesema kuwa utachukua hatua kuhakikisha kuwa kiwango cha soka kinapanda baada ya matokeo mabaya nchini Afrika Kusini.
Tanzania imefungwa katika michuano yake miwili ya makundi na kuondolewa katika michuano hiyo.
Ikiwa Adel Amrouche raia wa Algeria atapewa kibarua hicho, atakuwa amevuka mpaka kutoka jijini Nairobi kuja Dar es salaam, baada ya kuiongoza Harambee Stars kunyakua taji la CECAFA mwaka 2013.
Uzoefu wake kuhusu soka barani Afrika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Cogo Burundi, Equitorial Guinea na Kenya huenda kukaivutia Tanzania.
Ex- CAF Media Expert. An expert on African football with over 15 years experience ,always with an ear to the ground with indepth knowledge of the game. I have worked for top publications including 7 years at www.supersport.com until i founded www.soka25east.com to quench the thirst of football lovers across the continent. I have trained young upcoming journalists who are now a voice in African football.I have covered World Cup,AFCON,CHAN,Champions League,Confederations Cup,Cecafa,Cosafa,Wafu and many other football tournaments across the World. Founder Football Africa Arena(FAA),Founder www.afrisportdigital.com



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...