-
-
by
Victor Abuso
Klabu ya soka ya TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imefungwa mabao 2 kwa 1 na Club America kutoka Mexico kuibuka katika nafasi ya tano katika mashindano ya dunia baina ya vlabu nchini Japan.
Mabao ya Club America yalitiwa kimyani na Dario Benedetto na mwezake Martin Zuniga katika kipindi cha kwanza cha mchuano huo.
Bao la Benedetto lilitikisa nyavu za TP Mazembe katika dakika 19 ya mchuano huo huku Zuniga akifunga la pili katika dakika ya 29 huku Mazembe ikipata bao lake kupitia Rainford Kalaba katika dakika ya 43 ya kipindi hicho cha kwanza.
Baadhi ya mashabiki wanahisi kuwa maanadalizi ya TP Mazembe hayakuwa mazuri kuelekea michuano hiyo huku wengine wakidokeza kuwa ilikuwa ni tu bahati mbaya kwa timu yao kufungwa.
Michuano ya nusu fainali ni siku ya Alhamisi, Barcelona watachuana na Guangzhou Evergrande ya China huku Sanfrecce Hiroshima ya Japan ikichuana River Plate kutoka Argetina.
Watakaoibuka washindi watamenyana katika fanali siku ya Jumapili.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...