-
-
by
Victor Abuso
Timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Zimbabwe The Mighty Warriors, imeishinda Twiga Stars ya Tanzania mabao 2 kwa 1 katika mchuano muhimu wa kufuzu katika fainali ya mataifa bingwa barani Afrika, itakayochezwa mwezi Novemba mwaka huu nchini Cameroon.
Warembo wa Twiga Stars ilishindwa kutumia uwanja wao wa nyumbani wa Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es salaam Ijumaa jioni, licha ya kuanza kupata bao katika kipindi cha kwanza cha mchuano huo.
Mchuano wa marudiano utapigwa baada ya majuma mawili jijini Harare.
Zimbabwe imefuzu katika michuano ya Afrika mara tatu mwaka 2000, 2002 na 2004.
Tanzania imekuwa ikilemewa na Zimbabwe kwa muda mrefu na mwaka 2004, timu hizi mbili zilikutana katika mchuano wa robo fainali mwaka 2004 na Zimbabwe kupata ushindi.
Mshindi baada ya mechi ya mzunguko wa pili, atachuana na Zambia au Namibia katika hatua ya mwisho ya kufuzu katika fainali hiyo.
Mataifa mengine yanayotafauta nafasi hiyo ni pamoja na mabingwa watetezi Nigeria, Ghana,Equaitorial Guinea, Afrika Kusini na Ivory Coast.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...