-
-
by
Victor Abuso
Tusker FC na Ulinzi Stars zimefuzu katika hatua ya nusu fainali kuwania ubingwa wa taji la TOP 8 nchini Kenya.
Hii ni michuano ambayo huzikutanisha vlabu vinane vilivyomaliza katika nafasi nane bora msimu uliopita.
Vlabu hivyo ni pamoja na Bandari, Tusker, Ulinzi Stars, AFC Leopards, Gor Mahia, Ushuru, Sofapaka na Muhoroni Youth.
Tusker FC ilifuzu baada ya kuishinda Bandari FC kwa mabao 2 kwa 1, huku Ulinzi Stars ikiishinda AFC Leopards kwa mabao 3 kwa 2 katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi katika mechi zilizopigwa mwishoni mwa juma lililopita.
Siku ya Jumatatu, Gor Mahia wanachuana na Ushuru FC, huku Sofapaka wakipambana na Muhoroni Youth.



CAF Confederation Cup
Simba book final spot in CAF Confederation cup

CAF Confederation Cup
Simba book final spot in CAF Confederation cup
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 5 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...