-
-
by
Victor Abuso
Ligi Kuu ya Tanzania bara iliendelea siku ya Jumatano huku mabingwa watetezi Yanga FC wakipata ushindi wa pili mfululizo.
Wanajwagani hao wakicheza mchuano wake wa pili katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam waliwashinda Tanzania Prisons mabao 3 kwa 0.
Mabingwa wa zamani nao waliendeleza ushindi wao baada ya kuishinda JKT Mgambo mabao 2 kwa 0.
Maji Maji ilipata ushindi wa bao 1 kwa 0 dhidi ya Kagera Sugar, Mbeya City nao wakapata ushindi mkubwa wa mabao 3 kwa 0 dhidi ya Ruvu Stars.
Matoke mengine, Azam FC 2 Stand United 0, Mtibwa Sugar 2 Toto Africans 1, Ndanda 1 Coastal Union 0 na Mwadui 2 African Sports 0.
Michuano hiyo inaendelea siku ya Jumamosi:-
JKT Mgambo-Maji Maji
Stand United-African Sports
Tanzania Prisons-Mbeya City
Young Africans-Ruvu Stars
Jumapili:
Mwadui- Azam
Mtibwa Sugar- Ndanda
Simba- Kagera Sugar
Costal Union-Toto Africans



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...