-
-
by
Victor Abuso
Ligi kuu ya Tanzania bara iliendelea katika viwanja mbalimbali nchini humo siku ya Jumatano.
Mabingwa watetezi Yanga waliendelea kuandikisha ushindi baada ya kuifunga Toto African mabao 4 kwa 1.
Simon Msuva alionesha ushupavu wake baada ya kuifungia timu yake mabao 2 huku nahodha Juma Abdul na mchezaji wa Kimataifa kutoka Burundi Hamis Tambwe wakifunga bao 1 kila mmoja.
Kwa matokeo hayo, Yanga wanaendelea kuongoza msururu wa ligi hiyo kwa alama 19 baada ya mechi saba hadi sasa.
Mabingwa wa zamani Simba nao wakicheza na Tanzania Prisons walifungwa bao 1 kwa 0, Stand United ikaifunga Majimaji FC mabao 3 kwa 0 huku Coastal Union ikiichabanga Kagera sugar bao 1 kwa 0.
Ligi kuu ya Tanzania bara imesitishwa hadi kumalizika kwa uchaguzi Mkuu siku ya Jumapili.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...