-
-
by
Victor Abuso
Klabu ya soka ya Yanga imeendelea kuongoza ligi kuu nchini humo na kuweka nia ya dhati ya kutetea taji lake baada ya mwishoni mwa Juma lililopita baada ya kuwashinda Toto Africans mabao 2 kwa 1 katika uwanja wa CCM Kirumba huko Mwanza.
Matokeo hayo yaliwapa wanajangwani alama tatu muhimu na kuiweka kileleni kwa alama 62.
Simba na Azam FC nao walikuwa na kibarua kujaribu kuwafikia Yanga lakini timu hizi mbili zilitoka sare ya kutofungana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Azam inasalia katika nafasi ya pili kwa alama 59 na Simba ikiwa na alama 58.
Ratiba Jumatano Mei 4 2016
- Azam FC vs JKT Ruvu
Mei 7 2016 Jumamosi
- JKT Ruvu vs Ndanda FC
- Kagera Sugar vs Azam FC
- Simba SC vs Mwadui FC.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...