-
-
by
Victor Abuso
Klabu ya soka ya Zamalek FC kutoka nchini Misri, imetangaza kujiondoa katika ligi kuu ya soka nchini humo kwa madai ya kuonewa na refarii.
Uongozi wa klabu hii umekuja baada ya kufungwa na klabu ya Tala’ea El-Gaish mabao 3 kwa 2 katika mchuano wa ligi kuu mwishoni mwa juma lililopita.
Mabingwa hao watetezi wa ligi kuu nchini humo, wamesema hatua ya refarii wa kati kumpa kadi nyekundu beki wao Ali Gabr na kuipa Tala’ea mkwaju wa penalti ilikuwa ni makosa.
Kabla ya mchuano huo, uongozi wa klabu hiyo inasema ilikuwa imemlalamikia mwamuzi wa kati aliyechezesha mchuano huo Mahmoud al-Banna.
“Inaonekana, kulikuwa na lengo la kumkabidhi na kumteau Banna mchuano huu ili kuionea Zamalek,” taarifa ya Zamalek imeeleza.
Zamalek imejiondoa katika ligi hiyo huku ratiba ya ligi kuu nchini humo ikitarajiwa kuwa dhidi ya Ghazl El Mahalla siku ya Jumatano.



Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe

Africa Cup of Nations
Teams get tough opponents in AFCON 2025 Draws

Africa Cup of Nations
Tanzania,Uganda in tricky group with Nigeria and Tunisia

Africa Cup of Nations
Tough Afcon Group B as SouthAfrica paired with Egypt,Angola,Zimbabwe
Must See
-
AFRICA
/ 4 years agoSierra Leone FA President Isha Johansen endorses Patrice Motsepe for CAF President
Sierra Leone FA President who also doubles up as CAF Executive Council member Madam...
-
Football
/ 4 years agoIT JUST CAN NOT BE – AN AFRICA FULL OF MORONS?
By John De Mathews, There is an eerie silence around Africa, and it is...